http://kariakoodsm.blogspot.com
KARIAKOO BLOG:Kwa Habari Kali Za Mjini | SIASA | BURUDANI | UCHUMI | FASHION | BLOGGER TRICKS | UDAKU | MICHEZO | WASILIANA NA MIMI|0713305567 |urassaombeni@yahoo.com|KWA| MATANGAZO| BABARI| USISITE PIA KUCOMMENT KWENYE HABARI ZETU | <div style='background-color: #de24de;'><a href='http://www.ikiloop.com/' title='link'></a></div>

Saturday, 28 September 2013

MKUU WA WILAYA YA MBULU AWAPIGIA MAGOTI ANANCHI

Mbulu. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, mkoani Manyara, Anatory Choya, amesema kuwa aliwapigia magoti wananchi wa Kijiji cha Hydom, ili kuonyesha unyenyekevu kwa wananchi hao aliodai walionekana kujazwa maneno ya uchochezi na wanasiasa ili wavuruge amani .


Alisema kutokana fujo zilizofanywa na baadhi ya wananchi hao katika mkutano wa hadhara uliofanyika majuzi, kwa nafasi yake angeweza kuagiza hata Jeshi la Polisi kuwadhibiti watu, lakini misingi ya dini yake haimruhusu kumdhuru mtu zaidi ya kumwonyesha unyenyekevu.


Alisema hali hiyo ndiyo iliyomfanya kuamua kupiga magoti na kumshtakia Mungu.


“Mimi ni mkristo, unyenyekevu ndiyo nguzo pekee ya kuonyesha upendo na kudumisha amani. Ningeweza kuagiza polisi wawadhibiti, lakini sioni sababu kwa kuwa hiyo siyo misingi ya utawala. Ndiyo maana nikaona bora nitumie njia nyingine ya kumshirikisha Mungu mbele yao,”alisema Choya na kuongeza:


“Wanasiasa wamekuwa wakipandikiza chuki kwa wananchi kwa makusudi kwa lengo la kuvuruga amani lakini kwa kumweka Mungu mbele nina imani tutafanikiwa ili siku moja tusije tukaingia kwenye mkumbo wa Syria na Misri”


Choya alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akizungumza na Mwananchi Jumapili, siku chache baada ya kitendo chake cha kupiga magoti mbeye ya wananchi kwenye mkutano wake wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Haydom.


Mkuu huyo wa wilaya alidaiwa pia kuwalaani baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Haydom kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kumdharau na kutofuata maagizo yake, wakati yeye amewasaidia katika kutatua migogoro mbalimbali waliyokuwa nayo.


Tukio hilo la kusikitisha lilijitokeza baada ya wananchi wa kijiji hicho kupinga agizo la Choya, lililowataka kufanya uchaguzi wa kaimu mwenyekiti wa kijiji hicho, kabla ya kufanya uchaguzi mdogo, ambapo walipinga kwa kudai kuwa hakuna sheria hiyo.


Mmoja wa wananchi hao alilumbana na mkuu huyo wa wilaya mbapo Choya alijibu; “Nami nitarudi kwetu." Naye Tikin akasema tena: “Unasema utarudi kwenu Biharamulo wakati hawakutaki kwani ulifukuzwa ubunge?”


Maneno hayo yalionyesha kumkwaza Choya ambapo alipiga magoti huku machozi yakimlenga na kumwomba Mungu afanye jambo kwa watu wa Haydom kwani wanamdharau kabla ya kujitokeza wazee watatu wa Haydom na kumwomba msamaha mkuu huyo wa wilaya

Friday, 27 September 2013

WAKUU WA USALAMA KENYA KUHOJIWA NA BUNGE JUMATATU"


Sehemu ya jengo la Westgate iliyoporomoka
Maafisa wakuu wa ujasusi wametakiwa kufika mbele ya kamati ya ulinzi ya bunge ili kuhojiwa kuhusu mashambulizi ya kigaidi dhidi ya jumba la Westgate mjini Nairobi.
Taarifa kwenye vyombo vya habari nchini humo zinaonyesha kuwa hali ya kulaumiana imeanza kuibuka huku mashirika ya usalama yakinyosheana kidole

Watu 67 waliuawa kwenye shambulizi hilo huku zaidi ya miamoja sabini na tano wakipata majeraha mabaya. Shirika la Red Cross nalo linasema kuwa watu 61 wangali hawajulikani waliko.

Wataalamu wa uchunguzi wa mauaji wangali wanafanya uchunguzi wao wakitafuta miili na dalili za kilichosababisha shambulizi hilo.

Kamati ya bunge inataka maafisa wanaohusika na maswala ya usalama waweze kuwajibishwa.

Kundi la kigaidi la nchini Somalia, al-Shabab limedai kufanya mashambulizi hayo yaliyodumu siku nne kama hatua ya kulipiza kisasi kwa Kenya kujihusisha nchini Somalia kijeshi.

Hii leo ni siku ya tatu ya maombolezi kwa wathiriwa wa shambulizi hilo wakiwemo raia na wanajeshi.

Rais Uhuru Kenyatta amehudhuria mazishi ya mpwa wake na mchumba wake mjini Nairobi ambapo aliwahutubia waumini.
Walipuuza onyo?

Hatua ya kuwataka maafisa hao wa usalama kufika mbele ya tume ya bunge siku ya Jumatatu, inakuja kutokana na wasiwasi miongoni mwa wakenya kuhusu kiwango cha maafisa hao kujiandaa kwa tukio lolote la kigaidi sawa na lililotokea Westgate.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari mmoja wa maafisa waliotakiwa kufika mbele ya kamati hiyo ni mkuu wa shirika la ujasusi Michael Gichangi, anayesema alitoa taarifa za ujasusi kuhusu shambulizi hilo kwa polisi.

Lakini, afisaa mmoja mkuu katika idara ya polisi alikana kuwa taarifa hiyo ilitolewa kwa polisi

Sunday, 22 September 2013

"BABA NIMEPIGWA RISASI SHINGONI, USINIPIGIE TENA, NATAKA UNIOKOE HAPA"


“Dad I have been shot in the neck and hand. I am bleeding; come and help please”/XINHUA

NAIROBI, Kenya, Sep 21 – A father has recounted how his son frantically called him seeking help as gunmen invaded Westgate mall on Saturday, shooting people at random and taking hostages.

Nahashon Mwangi was at his work place at Yaya Centre when he received a call from his son who was pleading with him to go and rescue him from imminent death.

The son was one of the hundreds trapped inside by the attackers.

Mwangi told Capital FM News how he wished he was dreaming after his son broke what he termed as “the saddest news of his life time.”

“Dad, I have been shot in the neck and hand. I am bleeding; come and help please.”He became even more petrified when he tried calling him again but the son picked saying, “don’t call me again, I just want you to get me out of here. If they hear me talking; they are going to kill me!”

“I used like an hour to access the place. I was crying and pleading with the police to save my son.”

“I remember shouting like a kid… crying and crying but all this was not enough for the tight security personnel’s to allow me access,” he recalled.

The son was only to be released five hours after the attack which left 39 people killed and 150 others injured.

His son was rushed to Aga Khan University Hospital where he is undergoing treatment.

“My prayer is that he be well. Why should these people do this to us?” he asked.

Another victim is Zipporah Wanjiru who works in the mall. She narrated the incident saying, “They were speaking some language I was not understanding. I could not understand anything but the sound of their voice was scaring.”

Wanjiru says she hid under a table together with other five colleagues hoping they will not be seen by the gunmen.
“They were shooting without discriminating, it was like a movie seeing people sprayed with bullets like that,” she said amid tears.

“I have never witnessed this in my life. Only God can heal us and our country.”

One of the waiters at a café in the mall Titus Alede escaped unharmed but described the situation as horrible.

He risked his life by jumping from the first floor to escape, from “the death that I saw coming.”

“If I am told to go back and repeat the same thing, I will be scared. This can only be termed as God miracle,” an emotional Alede said.

“I was serving our client as normal and there was nothing suspicious until these men came,” he said.

“They were not after money as they were shooting people without asking for anything. I remember them saying that you killed our people in Somalia, it is our time to pay back.”

Rescue operations are still ongoing with casualties being rushed to various hospitals

MFAHAMU HAPPYNESS: MISS TANZANIA 2013!!! NI KICHWA KWELI KWELI!!!!!!

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha Skonga, utamkumbuka Happiness Watimanywa, msichana pekee kutoka Tanzania aliyeweka historia ya kuongoza nchi zaidi ya 150 za mtandao wa IGCSE katika somo la Uhasibu kwenye mitihani ya kidato cha nne mwaka 2010.
Happy (19) ni mzaliwa wa familia ya kawaida sana ya Mr Louis Roussos ya Morogoro. Wadogo zake Angel na Romeo sasa wanasoma St. Constantine shule iliyomtoa Happy. Pia, Happiness Watimanywa amewahi kusoma Laureatte International School ya Dar-es-salaam, ambapo akiwa hapo, alikutana na mwalimu wa michezo Mr Tchalewa Ndeki ambaye alimfungulia mipaka mingi Happy. Akiwa Laureatte, Happy aliwahi kwenda China na South Korea akiwa na wanafunzi wenzake katika matamasha mbali mbali ya elimu na michezo. Baada ya kumaliza kidato cha nne, Happy alifanikiwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Strathclyde cha UK ambapo anasomea digrii ya Biashara.
Kipindi ambacho Happy yupo kwenye likizo ndefu, alipata wakati mgumu wa kutokuwa na kitu cha kufanya, hivyo Happy aliamua kujihusisha na masuala ya urembo na kufanikiwa kutwaa Taji la Miss Dodoma, na Miss Kanda ya Kati na hatimaye kuingia kwenye kambi ya Miss Tanzania.
Akiwa Miss Tanzania, Happy alikuwa ni mshiriki wa kwanza kuingia Nusu Fainali ya mashindano hayo kwa kutwaa taji la Redds Miss Photogenic 2013.



Ndani ya kambi ya Miss Tanzania, Happiness Watimanywa amekuwa mwiba kwa warembo wengine 29 wanaowania taji hilo kwani amekuwa akionesha uwezo wa hali ya juu kuanzia kwenye kipaji hata michezo, ukiachilia mbali upeo mkubwa alio nao.

SWALI JE! HAPPYNESS ATAFUATA NYAYO ZA NANCY SUMMARI????????

MISS TANZANIA 2013 NI HAPPYNESS WATIMANYA FROM MOROGORO


Redd’s Miss Tanzania 2013 ni Happiness Watimanywa, mshindi wapi ni huyu wa kushoto anaitwa Latifa Mohamed na wa tatu ni Clara Bayo ambapo jumla ya Warembo 30 walishiriki kutoka mikoa mbalimbali.




Unaambiwa hawa ndio waliingia kumi bora.


Hawa ndio waliingia 5 bora ambapo ni Happiness Watimanya, Elizabeth Peter, Clara Bayo, Lucy Tomeka na Latifa Mohamed.










Pichaz zote zimepigwa na othmanmichuzi.blogspot.com

AL SHABAAB WADAI WAMEUA WAKENYA 100 JANA NA DHARAU NDIZO ZILIWAPONZA...SOMA WALICHOANDIKA TWITTER..RAIS KENYATTA ANENA PIA

Zaidi ya watu 39 wameuawa na wengine 150 kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kuliteka jengo lenye maduka la Westgate, jijini Nairobi, Kenya. 

Tukio hilo lilitokea jana mchana ambapo watu waliokuwa wakizungumza lugha ya kigeni, inayodhaniwa kati ya Kiarabu au Kisomali, kuvamia jengo la ghorofa na kushambulia watu kwa risasi. 

“Hawakuwa wakizungumza Kiswahili. Walikuwa wakizungumza kwa lugha kama vile Kiarabu au Kisomali, lakini sina hakika sifahamu lugha hizo,” alisema mmoja wa mashuhuda aliyefanikiwa kutoka ndani ya jengo hilo na kujitambulisha kwa jina moja la Jay.
Shuhuda mwingine aliyejitambulisha ni mfanyakazi wa Ubalozi wa Uholanzi jijini Nairobi, Rob Vandijk, alisema tukio hilo lilitokea wakati akipata chakula cha mchana ndani ya jengo hilo.
Alisema watu hao waliingia ndani ya jengo la maduka hayo na kuanza kushambulia watu kwa risasi.


Katibu Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu, Abbas Guled alisema: “Ninachoweza kusema tuna takriban maiti 20. Majeruhi ni wengi.”
Katika hotuba iliyorushwa moja kwa moja baadaye, Rais Uhuru Kenyatta alithibitisha kuwa zaidi ya watu 39 walikufa katika shambulizi hilo la kinyama, na wengine 150 kujeruhiwa.
"Vyombo vya usalama vinafanya kila jitihada kuthibiti eneo hili na kuwakamata waliohusika," asema Mr Kenyatta, akiongeza kuwa naye pia amepoteza wanafamilia katika tukio hilo. 

Polisi Waingia
Taarifa zingine zilisema kuwa polisi waliwasili eneo la tukio dakika 30 baada ya watu hao kuvamia jengo hilo.
Kamanda wa Polisi wa Kenya, Inspekta Jenerali David Kimaiyo alisema kwamba polisi walifika katika jengo hilo baada ya kupata taarifa, ambapo nao walianza kujibizana kwa risasi na magaidi hao waliokuwa hapo ndani.
Alisema watu hao wanaosadikiwa ni magaidi walikuwa wakijaribu kuiba pesa katika jengo hilo, kabla ya polisi hawajatokea na kuanza kurushiana risasi.
Helikopta za polisi zilionekana zikilizunguka jengo hilo kwa juu kuhakikisha hakuna mhalifu yeyote ambaye anaweza kutoroka.
Mashuhuda walisema kwamba walikuwa wakipata chakula cha mchana jirani na jengo hilo, ghafla wakashuhudia milio wa risasi kutoka katika eneo hilo.

Polisi walifanikiwa kuingia katika jengo hilo baada ya kukaa kwa muda mrefu kuangalia namna ya kuingia kwa sababu hawakujua watu hao walikuwa wamejificha eneo gani.

Baada ya polisi kuingia katika jengo hilo watu waliokuwa ndani walipata fursa ya kutolewa, huku polisi wengine wakiendelea kuwatafuta wahalifu hao.

Al-Shabab Yanena
Wakati shambulizi likiendelea jana jioni, wanamgambo wa kikundi cha Kiislamu cha Al-Shabab walivyambia vyombo vya habari kupitia Twitter kuwa wamehusika na tukio hilo.

“Tulishaionya serikali ya Kenya kuwa dhahama itaikumba kama isipoondoa vikosi vyake kutoka Somalia,” Al-Shabab waliandika kupitia akaunti yao ya Twitter inayoitwa @HSM_Press.


Wanamgambo hao waliongeza kuwa wamefanikiwa kuua watu wengi ( 100 )kuliko idadi inayotajwa na serikali ya Kenya, huku wakibeza jitihada za uokoaji.

Kutokana na malalamiko kutoka kwa waathirika wa tukio na vyombo mbalimbali vya usalama, FastCompany inaripoti kuwa Twitter ililazimika kuifunga akaunti hiyo usiku wa kuamkia leo.

HIZI NI TWEET ZAO KATIKA ACCOUNT YAO NYINGINE MAANA WANAZO KAMA 3 ivi:


Saturday, 21 September 2013

PICHA: HALI ILIVYOKUWA SHAMBULIZI LA KIGAIDI MADUKANI NAIROBI KENYA

Duru zinaarufu kuwa huenda ni magaidi waliofanya kitendo hicho lakini polisi wangali kutoa taarifa rasmi...... 


Wounded: A security officer helps an injured woman away from the building

Relief: A woman who had been held hostage makes it out alive from the mall, where seven are still being held

Fleeing: A child runs to safety across the shopping mall

Devastating: Injured people receive assistance from bypassers at the scene of the shooting

Hunt: Armed police search customers taking cover inside a bathroom at the shopping centre


Search: Police scour the centre with guns to try and locate the terrorists still holding hostages

Rescue: A woman is shipped to an ambulance in a shopping trolley by centre staff



Children: A soldier carries one of the survivors to safety as armed police hunt for the gunmen

Safety: Shoppers and shop assistants raise their hands as they are escorted out by armed police

Distraught: A young girl is carried away from the scene as people search for their friends and relatives




Shootout: A police officer takes up position at the Westgate shopping mall in Nairobi
Escape: An injured man who managed to flee the attackers is treated by paramedics outside the shopping centre

Emergency: A Red Cross assistant helps a child outside who was among those caught in the shooting

Gunfight: Police are still trying to escort people away from the site where fighting continues

Hostages: Police say armed men are still in the building and are holding prisoners

Shock: Witnesses said a half dozen grenades went off along with volleys of gunfire that started at midday

Stand-off: Soldiers are still searching in and around the Westgate Shopping Mall in Nairobi after the supposed terrorist attack

Rescue: A woman with her two children are helped from the mall as the fighting continues

Killings: At least 22 people are believed to be dead, according to the Kenya Red Cross

Victim: Rescuers attempt to evacuate a man injured in a shootout, among at least 50 wounded

Horror: Terrified and injured people poured out of the shopping centre over the course of an hour

Terrorist: Reports suggest the attack may have been carried out by Al-Shabab members

Family mall: Customers who had planned a Saturday of shopping were forced to run following a shootout between unidentified armed men and the police