http://kariakoodsm.blogspot.com
KARIAKOO BLOG:Kwa Habari Kali Za Mjini | SIASA | BURUDANI | UCHUMI | FASHION | BLOGGER TRICKS | UDAKU | MICHEZO | WASILIANA NA MIMI|0713305567 |urassaombeni@yahoo.com|KWA| MATANGAZO| BABARI| USISITE PIA KUCOMMENT KWENYE HABARI ZETU | <div style='background-color: #de24de;'><a href='http://www.ikiloop.com/' title='link'></a></div>
Showing posts with label OBAMA. Show all posts
Showing posts with label OBAMA. Show all posts

Sunday, 30 June 2013

BADO MAMBO SIYO MAMBO ZIARA YA OBAMA AFRIKA KUSINI

image

T
Ndege aina ya MARINE ONE, Ikiwa na Raisi Obama na Mkwewe Michelle ikiruka juu ya anga ya Pretoria wakati alipowasili kukutana na Raisi wa Afrika kusini Jacob Zuma
Helcopters ikiwepo Marine One zikiwa zimetua mbele Ya Jengo la Union(Union Building) Pretoria South Africa 

Kijana akiwa ndani ya Tshet yenye Picha ya Obama nje ya Hospital Ya  Medi-Clinic Heart  alipolazwa raisi wa zamani wa Africa Kusini Nelson Mandela Pretoria
Obama akijibu Maswali from kupitia "Video Mtukano" wakati alipokutana na Viongozi vijana Afrika University of Johannesburg  Soweto
MAANDAMANO BADO YANAENDELEA KUPINGA UJIO WAKE
WAANDAMANAJI WAKIKWARUZANA NA POLICE HUKO AFRKA KUSINI KUPINGA UJIO WA OBAMA
PICHA YA PAMOJA MTU NA MKEWE     MTU NA MKEWE
NA HAWA NAO WALIAMUA KUANDAMANA NYUMA YA CHUO ALICHOTEMBELEA OBAMA KUNA VICHAKA VYA KUTOSHA


US President Barack Obama and South African President Jacob Zuma give a press conference at the Union Building in Pretoria, South Africa. Zuma welcomed Barack Obama to South Africa, saying the first black US president carried with him the dreams of millions of Africans. During a landmark visit which has been overshadowed by Nelson Mandela's failing health, Zuma said Mandela and Obama were 'bound by history' as the first black leaders of their respective nations

Police use stun grenades in an attempt to disperse protesters outside the University of Johannesburg in Soweto, ahead of a visit by US President Barack Obama

A young man shows his excitement as Obama calls on him for a question

Sasha Obama and her cousin Leslie Robinson sit and listen to Michelle Obama speak at a youth event

First lady Michelle Obama waves to participants after a virtual discussion event with young people at the Sci-Bono Discovery Centre in Johannesburg

Michelle Obama hugs Tebogo Tenyan, 16, during a youth event
Obama answers questions from the audience and from people in Nigeria, Uganda and Kenya via live video link during a meeting with the young African leaders at the University of Johannesburg in Soweto

Obama toasts with his wife Michelle during an official dinner hosted by South African president Jacob Zuma at the Presidential Guest House in Pretoria

OBAMA APOKELEWA AFRIKA KUSINI NA MABANGO: KESHO ZAMU YETU TUTAMPOKEA KWA NGOMA NA VIGELEGELE

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA KATIKA VIUNGA VYA MKI WA CAPE TOWN.
Waandamanaji wakiwa tayali kuanza maandamano ya Amani
Akiwa na mwenyeji wake Rais Jacob Zuma kulia kwao ni wake zao.
Moja la bango la waandamanaji likiwa chini.

Kama unavyojionea mwenyewe.
kazi kweli kweli.
Wakiyaandaa mabango .

Uku ikiwa wanakumbuka kwamba kiongozi wao wa kwanza Mweusi Mzee Nelson Mandela yuko Hospitali akiendelea kupata matibabu kutokana na hali yake kuwa mbaya Baadhi ya wananchi wa Afrika kusini walijitokeza nje ya ukumbi wa Bunge mjini Cape Town kuandamana kupinga ziara ya Rais wa Marekeni Obama,uku wakiwa na Mabango yenye kuonyesha ujumbe mbalimbali kwa rais huyo

Friday, 28 June 2013

Ujio wa Obama wazidi kutesa wakazi Dar



UJIO wa Rais wa Marekani, Barack Obama na viongozi wengine umezidi kuwa shubiri miongoni mwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam.

Uchunguzi wa Tanzania Daima Jumamosi umeonesha kwamba kwa siku kadhaa wananchi wamekuwa wakisumbuka kwenda makazini au kwenye shughuli zao nyingine kutokana na foleni kubwa wanazokumbana nazo barabarani, hivyo kuwalazimu baadhi yao kutembea kwa miguu.

Hali hiyo imesababisha adha kubwa pia kwa watu wenye magari binafsi, wanaolazimika kukaa muda mwingi njiani, hivyo kukwamisha shughuli zao.

Kumekuwa na msururu mrefu wa magari katika barabara nyingi ikiwemo ile ya Kilwa kutoka eneo la Bandari hadi Stesheni.

Mkazi mmoja, Onesmo Peter alisema ujio huo umeleta hasara kwa sababu umewafanya wakazi wengi kuchelewa kazini ama katika biashara zao.

“Nimetoka nyumbani eneo la Mtoni Mtongani majira ya saa 1.15 asubuhi na cha ajabu nikakwama katika eneo la Bandari kwa zaidi ya saa moja na nusu,” alisema Peter.

Dereva Juma Mtanda alilalamikia hali hiyo na kueleza kwamba kuwepo kwa foleni hizo kunatokana na miundombinu hafifu iliyopo na kuhoji sababu ya serikali kutotumia mbinu mbadala ya kuuwezesha ugeni huo kufika nchini bila kuathiri shughuli za wananchi wengine.

Neema Samora ambaye alishuka kwenye daladala akiwa na wenzake na kutembea kwa miguu ili kuwahi shughuli zake, alisema ujio wa Obama na viongozi wengine unawaweka katika wakati mgumu wa kuweza kukosa kazi kwani wengi wao hufanya kazi kama vibarua hivyo kuamua kushuka kwenye daladala na kutembea.

“Mimi binafsi leo nimeacha gari nyumbani na kulazimika kukodi pikipiki bila kupenda ili iniwahishe mjini kwani machungu niliyoyapata jana yametosha,” alisema Hadija Saidi mkazi wa Ukonga.

Amosi Petro alisema ikiwa kuna ugeni wowote unataka kuja nchini ni vyema serikali ikajipanga vizuri kuliko ilivyofanya sasa kwani kwa kiasi kikubwa imeathiri shughuli za wengine.

AFRIKA KUSINI:MAMIA YA WATU WAANDAMANA KUPINGA UJIO WA OBAMA

Waandamaji Nchini Afrika Kusini wakiwa wamebeba mabango yanayopinga kuja Kwa Raisi Obama nchini Humo wakati wa maandamano ya Amani ya Kupinga Kuja Kwa Obama Katika Jiji la Pretoria Nchini Afrika Jioni ya leo wakati Raisi Obama alipotua Katika Jiji Hilo leo Jioni Juni 28
Waandamaji Nchini Afrika Kusini Wakisali mbele ya Bango linalopinga Kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo wakati Raisi Obama alipotua Nchini Afrika Kusini Jioni ya Leo Juni 28
Waandamaji wa Nchini Afrika Kusini wakiwa wanasali mbele ya Ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano ya kupinga kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo Mapema leo wakati Raisi Obama alipotua Nchini Humo Kwa Ziara ya Siku 2 ametokea Nchini Senegali na Kutua Nchini Afrika Kusini huku Akihitisha Ziara Yake Nchini Tanzania wiki ijayo.
Mmoja wa waandamaji nchini Afrika Kusini ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja akiwa amebeba moja ya Bango ambalo Linamwita Raisi OBAMA kuwa ni Mpishi wa Ikulu ya Marekani kama linavyosomekana na kuendelea kuelezea kuwa sera za Marekani ni tatizo.Mwandamaji huyu amebeba bango leo Juni 28 wakati wa maandamo ya amani kuelekea mbele ya Ubalozi wa Marekani NChini humo kwa kupinga Kuja Kwa OBAMA Nchini Mwao.

PICHA ZA RAIS OBAMA ALIPOTEMBELEA BANDARI YA ZAMANI ILIYOKUWA IKITUMIKA KUSAFIRISHIA WATUMWA

Obamas at the 'Door of No Return': First Family makes emotional trip to former slaving port in Senegal from where captives were shipped to America 
President Obama said that the visit to the former slave trade hub was important to him as an African American and an African American President tasked with protecting human right.
The Obamas visited Goree Island's Door of No Return where the slaves would embark on their journeys across the Atlantic Ocean
Facing history: President Obama took a tour of Goree Island outside of Dakar, Senegal where slaves used to be depart on boats bound for America in the late 18th century
President Obama was accompanied to Goree Island by his wife Michelle, their eldest daughter Malia, Michelle's mother Marian Robinson and their niece Leslie
Obama peered out at the crashing waves through the island's 'Door of No Return,' at first by himself


Though the Maison des Esclaves has become a popular tourist destination, it was one of the more minor slave shipping ports in

Mrs Obama joined him at the poignant doorway, and he said that the visit helped remind them of the importance of protecting civil rights
President Obama has a sombre moment at the Door of No Return



JE UNAFAHAMU GARI YA OBAMA????ICHEKI HAPA NI HATAREEEE.










PICHA ZA MATUKIO YA KUSHANGAZA UJIO WA OBAMA TANZANIA:


BARABARA YA MOROGORO UBUNGO IKIWA INAPIGWA DEKI
Mgambo wa Jiji wakinyanganyana bidhaa na Wamachinga maeneo Ya Mwenge katika Operation ya Kuwahamisha kufuatia ujio wa Obama Tanzania

Baadhi ya wakazi na wafanyakazi wa  halmashauri wakifanya usafi wa motaro ya maji chafu.
[clip_image001%255B7%255D.jpg]
Akina mama wakifanya usafi wa kufagia barabara maeneo ya changombe.
[clip_image001%255B7%255D.jpg]

MAONI YANGU:
Kwanini usafi mpaka aje obama????
Wamachinga wamekuwapo mwenge, Ubungo, Kariakoo na maeneo mengine miaka na miaka kwanini Obama aje ndo waondolewe????